Makanisa yabadilishwa Ujerumani baada ya kukosa waumini

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-24 00:11 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kwa mara ya mwisho, Kanisa la Mtakatifu Anna (St. Anna) limejaa karibu waumini wote. Kwaya inaimba, na kinanda kidogo kinatoa hamasa wakati wa uimbaji. Lakini hii ni Misa ya mwisho kabisa katika kanisa dogo la Kikatoliki la Gildehaus, eneo la Bad Bentheim karibu na mpaka wa Ujerumani na Uholanzi. Kuanzia sasa, jengo hili halitakuwa tena nyumba ya ibada.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]