Trump awaonya Hamas, Iran baada ya mazungumzo na Netanyahu
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-30 13:27 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza kwenye kikao cha waandishi habari pamoja na Netanyahu jimboni Florida, Trump alitishia kuangamiza jaribio lolote la Tehran kuujenga upya mpango wake wa nyuklia au silaha za makombora ya masafa marefu kufuatia mashambulizi ya Marekani na Israel mapema mwaka huu. Ali Shamkhani, mshauri mkuu wa kisiasa wa kiongozi wa juu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei alisema uchokozi wowote dhidi ya nchi yake utajibiwa haraka na hatua kali.
--------------------------------------------------------------------