Urusi yasema Ukraine ilishambulia makazi ya Putin
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-30 13:34 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Urusi imeituhumu Ukraine kwa kufyatua droni kadhaa kwenye moja ya makazi ya Rais wa Urusi wa Vladmir Putin. Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov, amesema Ukraine ilirusha droni 91 za masafa marefu kwenye makazi ya Putin ya eneo la Novgorod kati ya Jumapili usiku na Jumatatu asubuhi.
--------------------------------------------------------------------