AFCON: Morocco, Afrika Kusini, Misri watinga hatua ya mchujo

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-30 14:17 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Morocco ilijihakikishia nafasi katika hatua ya 16 borakwa ushindi wa 3-0 dhidi ya Zambia. Wenyeji waliongoza Kundi A na kusalia kwenye mkondo wa kucheza michezo yao yote ya mtoano katika Uwanja wa Mwanamfalme Moulay Abdellah wa Rabat wenye uwezo wa kuchukua mashabiki karibu 70,000, ambao pia utaandaa fainali Januari 18.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]