Bondia Joshua anatibiwa hospitalini baada ya ajali Nigeria
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-30 14:23 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Bondia huyo mwenye umri wa miaka 36, ambaye alikuwa likizoni nchini Nigeria baada ya ushindi wake dhidi ya Jake Paul mnamo Desemba 19, anapokea matibabu kufuatia majeraha madogo aliyoyapata na hali yake inasemekama ni imara. Imethibitishwa na msemaji wa Joshua kwamba waliofariki ni Sina Ghami na Latif Ayodele, ambao wote walikuwa marafiki wa muda mrefu wa bingwa huyo wa zamani wa dunia mara mbili wa uzani wa juu.
--------------------------------------------------------------------