Kongo yatangaza waasi wa Mobondo kuwa kundi la kigaidi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-30 19:15 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kundi la waasi la Mobondo limeibuka upya, na kusababisha hofu ya kutokea kwa machafuko makubwa katika mji mkuu Kinshasa. Video zilizosambaa mitandaoni zinawaonyesha wanamgambo hao wakiwa wamefunga vitambaa au fulana nyekundu vichwani, wakidai kupigania mageuzi nchini.
--------------------------------------------------------------------