Trump azionya Hamas na Iran baada ya mazungumzo na Netanyahu
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-30 21:54 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza katika mkutano wa waandishi wa habari akiwa na Netanyahu huko Florida, Trump alitishia "kutokomeza" jaribio lolote la Tehran la kuanzisha upya mpango wake wa nyuklia au makombora kufuatia mashambulizi ya Marekani na Israel mapema mwaka huu.
--------------------------------------------------------------------