Urusi yaishtumu Ukraine kwa kushambulia makazi ya Putin
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-30 22:00 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov amesema Ukraine ilijaribu kushambulia makazi ya Putin katika mkoa wa Novgorod magharibi mwa Moscow mnamo Desemba 28-29 kwa droni 91 za masafa marefu ambazo zote zilidunguliwa na ulinzi wa anga wa Urusi.
--------------------------------------------------------------------