Iran yasema itajibu vikali iwapo itachokozwa
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-30 23:17 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Rais Trump alisema Marekani inaweza kuunga mkono shambulizi jengine kubwa dhidi ya Iran iwapo Jamhuri hiyo ya kiislamu itaendelea na mpango wake wa kutengeneza silaha za nyuklia.
--------------------------------------------------------------------