UN: Watoto hatarini kukumbwa na unyanyasaji wa kingono DRC
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-30 23:28 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Hayo yameelezwa katika ripoti iliyotolewa Jumanne na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuwahudumia Watoto (UNICEF), ripoti iliyoongeza kuwa miaka thelathini ya mzozo mashariki mwa DRC ni moja ya sababu kubwa ya madhila hayo kwa watoto yanayochagizwa na mifumo dhaifu ya ulinzi na uwajibikaji mdogo wa kisheria.
--------------------------------------------------------------------