Israel kukatiza shughuli za mashirika kadhaa ya misaada Gaza
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-31 01:49 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Wizara ya Masuala ya Nje ya Israel imesema mashirika ambayo yatapigwa marufuku ifikapo Januari 1 mwakani, hayajakidhi masharti mapya ya kubadilishana taarifa za wafanyakazi, ufadhili na shughuli zao.
--------------------------------------------------------------------