Kubana mkojo kunavyoweza kuathiri afya yako
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-31 03:13 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Wataalamu wa afya wanasema, kubana mkojo mara kwa mara kunaweza kuathiri mwili kwa njia nyingi. Mwili wa binadamu una mfumo wa mawasiliano. Kibofu cha mkojo kinapojazwa, hutuma ujumbe kwenye ubongo kuwa ni wakati wa kujisaidia. Unapopuuzia ujumbe huu mara kwa mara, mwili unaanza kuathirika taratibu.
--------------------------------------------------------------------