Umoja wa Falme za Kiarabu kuviondoa vikosi vyake Yemen

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-31 14:54 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Umoja wa Falme za Kiarabu umesema unaondoa vikosi vyake vilivyobaki nchini Yemen. Hii ni kufuatia sharti la Saudi Arabia kutaka vikosi hivyo viondoke ndani ya saa 24 huku mvutano ukiongezeka kuhusu mashambulizi makali yanayofanywa na waasi wanaopigania kujitengaambao wanaungwa mkono na Abu Dhabi. Wizara ya ulinzi ya Falme za Kiarabu imesema inaviondoa vikosi vya kupambana na ugaidi kwa hiari yake.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]