Wanafunzi wajiunga na maandamano Iran kupinga hali ngumu

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-31 15:01 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kulingana na Ilna, shirika la habari linalohusiana na harakati za wafanyakazi nchini Iran, maandamano yalizuka katika vyuo vikuu 10 kote nchini, vikiwemo saba huko Tehran ambavyo ni miongoni mwa vyuo vya kifahari zaidi nchini humo. Siku ya Jumanne, vikosi vya usalama na polisi wa kupambana na ghasia waliwekwa katika sehemu kadhaa za makutano makubwa mjini Tehran na karibu na baadhi ya vyuo vikuu, huku baadhi ya maduka yaliyofungwa siku iliyopita katikati mwa mji mkuu yakifunguliwa tena.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]