AFCON: Tanzania yaweka historia kwa kutinga hatua ya mchujo

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-31 15:15 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Senegal ambao ni mabingwa wa 2021, waliwafunga Benin 3 - 0 katika Kundi D mjini Tanger. Congo walimaliza wa pili katika kundi hilo kwa faida ya mabao baada ya ushindi wa 3 - 0 dhidi ya Botswana mjini Rabat. Senegal, Congo na Benin walikuwa tayari wamejihakikishia nafasi zao za 16 bora.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]