Ujerumani: Euro milioni 30 zaibiwa katika wizi wa benki

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-31 15:07 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Polisi imesema wezi hao walifanya wizi huo Jumatatu kwa kutumia ukimya uliokuwepo wakati wa mapumziko ya siku kuu. Wapelelezi wanakadiria kwamba waliiba takriban euro milioni 30 wakati wa uvamizi wa benki ya Sparkasse katika jiji la Gelsenkirchen lililoko magharibi mwa nchi.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]