Kim Jong Un asifu wanajeshi wa Korea Kaskazini nje ya nchi

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-01 15:36 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia, South Korea, Ukraine/Russia, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amewasifu wanajeshi wake wanaopigana katika “nchi ya kigeni” kupitia ujumbe wa Mwaka Mpya, akisisitiza ushirikiano wa Pyongyang na Moscow. Bila kuitaja moja kwa moja Ukraine, Kim aliwahutubia wanajeshi waliotumwa nje ya nchi, akiwataka wawe jasiri na kupongeza kile alichokiita utetezi wa heshima ya taifa.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]