Watu 5 wauawa katika mashambulizi dhidi ya 'boti za madawa'
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-01 15:49 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Jeshi la Marekani limetangaza kuwa watu watano wameuawa katika mashambulizi dhidi ya boti tatu zinazodaiwa kusafirisha dawa za kulevya katika eneo la kimataifa la bahari. Kwa mujibu wa Kamandi ya Kusini ya jeshi la Marekani, mashambulizi hayo yalifanyika Jumanne na kulenga msafara wa boti tatu. Watu wote waliouawa walikuwa ndani ya boti moja.
--------------------------------------------------------------------