Saudi Arabia iliwanyonga watu 356 mwaka uliopita
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-01 21:38 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mamlaka ya Saudi Arabia imeweka rekodi mpya kwa kuwanyonga watu 356 katika mwaka wa 2025, taarifa hiyo ni kwa mujibu wa shirika la habari la AFP ambapo imeongeza kwamba idadi hiyo inamaanisha nchi hiyo imetekeleza adhabu hiyo kwa kuwanyonga wafungwa wengi zaidi katika kipindi cha mwaka mmoja.
--------------------------------------------------------------------