Kongo yaituhumu Rwanda kuwaua raia 1,500
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-02 02:06 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Taarifa iliyotolewa na serikali ya Kongo siku ya Jumatano imesema vifo hivyo vimetokea wakati kundi la M23 linaloungwa mkono na Rwanda lilipoanzisha mashambulizi mapya upande wa mashariki.
--------------------------------------------------------------------