Urusi yasema shambulio la Ukraine limewaua 24 huko Kherson
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-02 02:19 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Maafisa nchini Urusi wamesema leo kwamba mashambulizi ya droni ya Ukraine yamewaua watu 24 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 50 kwenye kijiji kimoja cha mji wa Ukraine wa Kherson unaokaliwa na Urusi wakati wa sherehe za mwaka mpya.
--------------------------------------------------------------------