Makumi ya watu wahofiwa kufariki dunia kwa moto Uswisi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-02 02:52 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Polisi nchini Uswisi imesema leo kuwa watu kadhaa wanahofiwa kufariki na takriban wengine 100 kujeruhiwa kufuatia moto uliozuka kwenye baa moja katika mji wa mapumziko wa Crans-Montana kwenye milima ya Alps wakati wa sherehe ya mwaka Mpya.
--------------------------------------------------------------------