Usiku wa sherehe ya mwaka wageuka janga la kitaifa Uswisi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-02 14:42 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Takribani watu 40 wamefariki dunia na wengine 115 kujeruhiwa, wengi wao vibaya, baada ya moto mkubwa kuteketeza baa wakati wa sherehe za Mwaka Mpya katika kituo cha mapumziko cha milimani cha Crans-Montana nchini Uswisi.
--------------------------------------------------------------------