Gavana Yemen aanzisha operesheni kukomboa maeneo ya kijeshi

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-02 21:20 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Gavana huyo lakini amesisitiza kuwa hatua hiyo si tangazo la vita. Serikali ya Yemen inayoungwa mkono na Saudi Arabia imetangaza kuwa Gavana wa Hadramout Salem Ahmed Saeed al-Khunbashi ndiye ataviongoza vikosi vya "ulinzi wa kitaifa" katika jimbo la mashariki, na kumpa mamlaka kamili ya kijeshi, kiusalama na kiutawala katika kile ilichosema ni hatua ya kurejesha usalama na utulivu eneo hilo.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]