Somaliland yakanusha madai kuwa itawahifadhi Wapalestina

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-02 21:22 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Wiki iliyopita Israel ilikuwa nchi ya kwanza kuitambua Somaliland kama "taifa huru", hatua iliyozusha upinzani kote Somalia. Siku ya Jumatano, Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud, akinukuu ripoti za kijasusi, aliambia televisheni ya Al Jazeera kwamba Somaliland imekubali masharti matatu kutoka kwa Israel ambayo ni: kuwahamisha Wapalestina, kujengwa kwa kambi ya kijeshi kwenye Ghuba ya Aden, na kujiunga na Makubaliano ya Abraham ili kurekebisha uhusiano na Israel.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]