Gabon yatimua timu nzima kufuatia matokeo mabaya ya AFCON

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-02 21:39 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Hii ni kufuatia matokeo mabaya ya Gabon katika Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) linaloendelea Morocco. Matokeo ya timu ya taifa katika mashindano ya AFCON yalitathminiwa na Baraza la Mawaziri kufuatia kushindwa kwa 3-2 Jumapili na Msumbiji inayoorodheshwa katika nafasi ya 102 katika viwango vya FIFA, jambo lililomaanisha kwamba Gabon haikuweza kusonga mbele hadi hatua ya mtoano.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]