Saudia na UAE zavutana katika mzozo wa Yemen
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-02 22:02 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mapema siku ya Ijumaa, Gavana wa jimbo la Hadramout linaloungwa mkono na Saudi Arabia amesema ataanzisha operesheni aliyoiita ya amani ili kuchukua tena udhibiti wa maeneo ya kijeshi kutoka kwa kundi la wapiganaji linalojiita Baraza la Mpito la Kusini (STC) linaloungwa mkono na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), na kusisitiza kuwa vitendo hivyo si tangazo la vita.
--------------------------------------------------------------------