Urusi za Ukraine zaendelea kushambuliana vikali
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-03 02:20 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Urusi imedai kuwa jeshi la Ukraine lilishambulia kwa droni mgahawa mmoja katika kijiji cha Khorly huko Kherson na kuwaua raia 27 wakiwemo watoto wawili ambao walikuwa wakisherehekea Mwaka Mpya huko Kherson . Svetlana Petrenko, msemaji wa Kamati ya Urusi inayofuatilia makosa ya jinai amesema uchunguzi kuhusu mashtaka ya kutekeleza kitendo cha kigaidi umeanzishwa.
--------------------------------------------------------------------