AFCON kuingia hatua ya mchujo iliyosheheni wachezaji nyota

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-03 02:31 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Baada ya kupigwa mechi 36 za makundi sita, timu 16 zilizofuzu kati ya 24 zitakabana koo katika duru ya pili ya mechi nane kwa kipindi cha siku nne. Jumamosi, Sadio Mane ataiongoza Senegal itakaposhuka dimbani dhidi ya Sudan. Sudan wanawakilisha nchi ambayo imekumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe tangu mwaka wa 2023, na ilitinga duru ya pili licha ya wachezaji wao kushindwa kufunga bao hata moja.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]