Wanamgambo wenye mafungamano na IS waua watu 15-DRC

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-03 21:59 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Wanamgambo wanaohusishwa na kundi linalojiita Dola la Kiislamu IS, wamefanya mashambulizi ya wakati mmoja katika vijiji vitatu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na kuwaua watu zaidi ya 10. Taarifa hizo ni kwa mujibu wa vyanzo vya kijeshi na kiraia.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]