Iran: Polisi waonya kuhusu 'maandamano ya kutumia silaha'
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-03 22:03 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Polisi nchini Iran imesema kuwa maandamano nchini humo yanazidi kusambaa na kuwa ya ghasia kubwa. Shirika la habari la Fars limemnukuu msemaji wa polisi akisema kuwa hawatoruhusu maadui wa nchi hiyo kugeuza maandamano ya amani kuwa machafuko na uasi wa kutumia silaha, na kwamba watalinda taifa na watu hadi pumzi ya mwisho.
--------------------------------------------------------------------