China yaendelea na luteka yake ya kijeshi karibu na Taiwan

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-30 23:26 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia, China, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kulingana na data za serikali, idadi kubwa ya ndege za kivita za china zinawakilisha idadi ya pili kubwa kuwahi kushuhudiwa karibu na anga ya Taiwan. Mwezi Oktoba mwaka 2024 wakati wa zoezi jengine la kijeshi la "Joint Sword 2024B" ndege 153 zilirekodiwa. Kando na hilo Taiwan pia imegundua meli 14 za kivita za China, meli nyengine za taifa hilo pamoja na puto moja.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]