Mji mkuu wa Venezuela-Caracas watikiswa na milipuko
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-03 22:09 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Takriban milipuko saba na ndege zilizokuwa zikiruka usawa wa chini, vimesikika mapema leo asubuhi katika mji mkuu wa Venezuela wa Caracas. Serikali ya Venezuela imeishutumu Marekani kwa kushambulia vituo vya kiraia na kijeshi. Mashuhuda wameripoti kuona moshi ukifuka kutoka kwenye vituo vya kijeshi. Venezuela tayari imetangaza hali ya dharura kufuatia matukio hayo.
--------------------------------------------------------------------