Maduro na mkewe washtakiwa kwa ugaidi wa dawa za kulevya
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-03 21:52 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Bondi aliandika kupitia ukurasa wa X kwamba Maduro ameshtakiwa kwa njama ya ugaidi wa dawa za kulevya, njama ya kuingiza kokaini, umiliki wa bunduki na vifaa vya uharibifu dhidi ya Marekani, akiongeza kuwa mashtaka hayo yamewasilishwa huko New York.
--------------------------------------------------------------------