Zambia kuwa mwenyeji wa mkutano wa kikanda kuhusu DRC
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-04 02:17 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Zambia inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa mawaziri wa ulinzi wa ukanda wa Maziwa Makuu wiki ijayo, ili kujadili hali ya usalama inayozidi kuyumba katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yenye migogoro.
--------------------------------------------------------------------