Khamenei aapa kutosalimu amri dhidi ya adui yake Marekani

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-04 02:22 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameapa kutokubali shinikizo baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutishia kuwasaidia waandamanaji. Matamshi yake yanatolewa wakati makundi ya haki za binadamu yakiripoti ongezeko kubwa la kukamatwa kwa watu kufuatia siku kadhaa za machafuko yaliyochochewa na kupanda kwa mfumuko wa bei.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]