Myanmar yatoa msamaha kwa wafungwa zaidi ya 6,000

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-04 21:11 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Serikali ya kijeshi ya Myanmar imetoa msamaha kwa zaidi ya wafungwa 6,100 na kupunguza vifungo vya wafungwa wengine leo Jumapili wakati ikiadhimisha miaka 78 ya uhuru wa nchi hiyo kutoka Uingereza. Haijabainika mara moja kama walioachiliwa ni pamoja na maelfu ya wafungwa wa kisiasa waliokamatwa kwa kupinga utawala wa kijeshi.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]