Washambuliaji wenye silaha waua watu 30 nchini Nigeria
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-05 02:12 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Zaidi ya watu 30 wameuawa na wengine kadhaa kutekwa na majambazi katika jimbo la kati nchini Nigeria. Majambazi hao walivamia kijiji cha Kasuwan Daji katika wilaya ya Kabe na kuchoma moto soko kabla ya kupora maduka ya vyakula.
--------------------------------------------------------------------