Yemen: Vikosi vya serikali vyadhibiti jimbo la Hadramout

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-05 21:44 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mji huo wa Mukalla ni mji mkuu wa jimbo la Hadramout, sasa umeingia tena mikononi mwa serikali ya Yemen inayotambuliwa kimataifa baada ya siku kadhaa za mashambulizi ya anga ya Saudi Arabia. Wanajeshi wasiopungua 80 wa Baraza la Mpito la Kusini mwa Yemen (STC) wameuawa katika mapigano na mashambulizi ya vikosi vinavyoungwa mkono na Saudi Arabia.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]