Serikali Uganda yadaiwa kuukandamiza upinzani

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-06 00:22 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, World News
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Amnesty International imesema imekusanya ushahidi wa kutosha ukionyesha jinsi askari polisi na jeshi waliovyohusika moja kwa moja katika kuwanyanyasa wafuasi na viongozi wa upinzani kuelekea uchaguzi mkuu. Vitendo vya vyombo vya dola kuzuia na kutatiza mikutano ya kampeni za upinzani ambazo zimetambuliwa na tume ya uchaguzi kwa mujibu wa ratiba rasmi ni hali ambayo ilitangulia kudhihirika.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]