Idadi ya waomba hifadhi Ujerumani imepungua 2025

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-06 01:46 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Takwimu hizo mpya zinaashiria kuwa idadi ya wanaoomba hifadhi mwaka 2025 ilikuwa nusu ya ile ya walioomba nafasi mwaka uliotangulia na kiasi ya thuluthi moja ya walioomba huduma hiyo mwaka 2023, inaeleza wizara ya mambo ya ndani ya Ujerumani. Hali hiyo imebainika baada ya serikali ya kihafidhina ya Ujerumani kubana sheria za uhamiaji na kuimarisha ukaguzi mipakani.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]