Syria na Israel kuanza awamu mpya ya mazungumzo
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-06 02:42 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Afisa aliyezungumza kwa sharti la kutotambulishwa kwa kuwa hakuwa na ruhusa ya kuzungumza hadharani, ameliambia shirika la habari la AP kwamba ujumbe kutoka Syria utaongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje Asaad al-Shibani na Mkuu wa Kurugenzi Kuu ya Ujasusi, Hussein Salameh.
--------------------------------------------------------------------