Mahakama ya Iran yaapa kuwakabili vikali waandamanaji
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-06 02:49 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Jaji Mkuu nchini humo Gholam-Hossein Mohseni Ejei ameonya kupitia mtandao wa mahakama wa Mizan kwamba waandamanaji wanapaswa kutambua kuwa mahakama hazitaonyesha huruma kama hapo awali na kwamba hakutakuwa na makubaliano zaidi.
--------------------------------------------------------------------