Angola yawasilisha mapendekezo ya kuumaliza mzozo wa Kongo
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-06 12:28 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya Rais wa Angola, Tshisekedi alikutana na mwenyeji wake Joao Lourenco katika mji mkuu wa Angola, Luanda na kwamba mkutano kati ya viongozi hao wawili ulidumu kwa saa kadhaa.
--------------------------------------------------------------------