Hujuma dhidi ya Waandishi kuelekea uchaguzi mkuu Uganda
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-06 21:41 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kanda husika ya kitendo hicho imesambaa kwenye majukwaa mbalimbali ya kijamii ikionyesha askari wawili wa kikosi kijulikanacho kama JATT wakigongesha kichwa cha mwanahabari kwenye gari moja mara kadhaa huku wakimzaba makofi akiwa ameshikilia kamera yake.
--------------------------------------------------------------------