Mahrez: Algeria sio miongoni mwa wanaopigiwa upatu AFCON
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-06 21:55 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Licha ya kufanya vizuri katika hatua ya makundi, Mahrez amesisitiza kuwa mbinu yao ni kucheza hatua kwa hatua kwa nidhamu ya hali ya juu. Algeria inashuka dimbani Jumanne dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika hatua ya 16 bora. Congo wanalenga kutinga robo fainali kwa mara ya nne katika mashindano sita ya Kombe hilo.
--------------------------------------------------------------------