Touadéra achaguliwa tena kuiongoza Jamhuri ya Afrika ya Kati

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-06 22:00 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Muungano mkuu wa upinzani uliususia uchaguzi huo wa Desemba 28 baada ya kura ya maoni kuruhusu kuondolewa kwa ukomo wa mihula ya rais. Tume ya uchaguzi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati, imesema Touadéra alipata kura 894,556, sawa na zaidi ya asilimia 76, na hivyo kuwashinda wapinzani wake wakuu sita kwa tofauti kubwa.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]