Guterres aelezea hofu kuhusu ukosefu wa utulivu Venezuela
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-06 22:10 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Marekani inasema haina mpango wa kuikalia nchi hiyo ya Amerika Kusini. Guterres aliyasema hayo katika taarifa iliyowasilishwa katika Mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama na mkuu wa masuala ya kisiasa wa Umoja wa Mataifa Rosemary DiCarlo. "Ninatoa wito kwa wahusika wote wa Venezuela kushiriki katika mazungumzo jumuishi na ya kidemokrasia ambapo sekta zote za jamii zinaweza kuamua mustakabali wao.
--------------------------------------------------------------------