Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel yuko ziarani Somaliland
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-07 02:17 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Wizara ya Mambo ya Habari ya Somaliland Saar imesema Saar na ujumbe wake walipokelewa na maafisa waandamizi wa Baraza la Mawaziri la Somaliland, walipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Hargeisa, mji mkuu wa Somaliland. Wizara hiyo imeielezea ziara hiyo kuwa hatua kubwa katika uhusiano wa pande mbili. Saar anatarajiwa kukutana na Rais wa Somaliland Abdirahman Mohamed Abdullahi, anayejulikana pia kama Irro, baadaye Jumanne katika ikulu ya rais.
--------------------------------------------------------------------