Vikosi vya usalama vyakabiliana tena na waandamanaji Tehran

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-07 02:18 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Vikosi vya usalama vilitumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji hao, huku soko kuu likilazimika kufungwa. Kwa mujibu wa wanaharakati walioko nje ya nchi, maandamano na vurugu zinazohusiana na hali ngumu ya kiuchumi zimeua watu wasiopungua 35, huku zaidi ya watu 1,200 wakikamatwa na mamlaka.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]